وتلك القرى اهلكناهم لما ظلموا وجعلنا لمهلكهم موعدا ٥٩
وَتِلْكَ ٱلْقُرَىٰٓ أَهْلَكْنَـٰهُمْ لَمَّا ظَلَمُوا۟ وَجَعَلْنَا لِمَهْلِكِهِم مَّوْعِدًۭا ٥٩
وَتِلْكَ
الْقُرٰۤی
اَهْلَكْنٰهُمْ
لَمَّا
ظَلَمُوْا
وَجَعَلْنَا
لِمَهْلِكِهِمْ
مَّوْعِدًا
۟۠
3
Vijiji hivyo vilivyo karibu na nyinyi, kama vijiji vya watu wa Nūḥ„ Ṣāliḥ„ Lūṭ, na Shu'ayb, tuliviangamiza watu wake walipodhulumu kwa kukufuru, na tuliwawekea wakati na muda maalumu wa kuwaangamiza; walipoufikia adhabu iliwajia na Mwenyezi Mungu Akawaangamiza kwayo.