Aya
11
Mahali iliteremshwa
Makka
AL-QAARIA'H
(Imeteremka Makka)
Sura hii inaanza kwa kitisho cha hiyo AL-QAARIA'H, yaani Inayo gonga, sauti inayo gonga katika masikio ya watu, yaani ndio Kiyama. Na Sura imetaja baadhi ya hali za hiyo sauti inayo gonga khasa kwa mintarafu ya watu na milima. Na ikashughulikia kusimulia hao ambao mizani yao itakuwa nzito kwa kuzidi mema yao, na mizani yao itayo kuwa duni kwa kuzidi maovu yao (na kupunguka mema yao).