فيقولوا هل نحن منظرون ٢٠٣
فَيَقُولُوا۟ هَلْ نَحْنُ مُنظَرُونَ ٢٠٣
فَیَقُوْلُوْا
هَلْ
نَحْنُ
مُنْظَرُوْنَ
۟ؕ
3
na hapo waseme, watakaposhtushwa nayo, kwa majuto ya Imani iliyotupita tukaikosa, «Je, sisi ni wenye kupatiwa nafasi na kucheleweshwa tupate kutubia kwa Mwenyezi Mungu ushirikina wetu na tuyapatilize yaliyotupita?»