فتولى فرعون فجمع كيده ثم اتى ٦٠
فَتَوَلَّىٰ فِرْعَوْنُ فَجَمَعَ كَيْدَهُۥ ثُمَّ أَتَىٰ ٦٠
فَتَوَلّٰی
فِرْعَوْنُ
فَجَمَعَ
كَیْدَهٗ
ثُمَّ
اَتٰی
۟
3
Hapo Fir'awn aliyapa mgongo hali ya kuyapuuza yale ya ukweli aliyoletewa na Mūsā na akawakusanya wachawi wake, na baada yake akaja katika kipindi cha mkusanyiko.