قل اعوذ برب الناس ١
قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ ١
قُلْ
اَعُوْذُ
بِرَبِّ
النَّاسِ
۟ۙ
3
Sema, ewe Mtume, «Ninajilinda na kutaka hifadhi kwa Bwana wa watu, Mwenye uweza, Peke Yake, wa kulirudisha shari lao.