كتاب مرقوم ٩
كِتَـٰبٌۭ مَّرْقُومٌۭ ٩
undefined
undefined
undefined
۳
Hakika hiyo itakuwa ni jela ya kudumu na adhabu iliyo na uchungu. Penye jela hiyo ni pale walipoandikiwa kuwa watakwenda. Wameandikiwa na imepitishwa. Hapana kitakachozidishwa wala kupunguzwa.