۞ افلا يعلم اذا بعثر ما في القبور ٩
۞ أَفَلَا يَعْلَمُ إِذَا بُعْثِرَ مَا فِى ٱلْقُبُورِ ٩
undefined
undefined
undefined
undefined
undefined
undefined
undefined
undefined
۳
Kwani binadamu hajui linalomngojea mbele yake, pindi Mwenyezi Mungu Atakapowatoa wafu makaburini waende kuhesabiwa na kulipwa?