وانكم لتمرون عليهم مصبحين ١٣٧
وَإِنَّكُمْ لَتَمُرُّونَ عَلَيْهِم مُّصْبِحِينَ ١٣٧
وَاِنَّكُمْ
لَتَمُرُّوْنَ
عَلَیْهِمْ
مُّصْبِحِیْنَ
۟ۙ
Na hakika yenu nyinyi, enyi watu wa Makkah mnazipitia katika safari zenu nyumba za watu wa Lūṭ na athari zao katika kipindi cha asubuhi,