الذين يرثون الفردوس هم فيها خالدون ١١
ٱلَّذِينَ يَرِثُونَ ٱلْفِرْدَوْسَ هُمْ فِيهَا خَـٰلِدُونَ ١١
الَّذِیْنَ
یَرِثُوْنَ
الْفِرْدَوْسَ ؕ
هُمْ
فِیْهَا
خٰلِدُوْنَ
۟
Ambao watairithi Pepo ya juu kabisa na ya kati na kati, nayo ndiyo yenye mashukio bora zaidi kuliko zote, wao humo watakaa milele, neema zao hazitakatika wala hazitaondoka.