ونبيهم عن ضيف ابراهيم ٥١
وَنَبِّئْهُمْ عَن ضَيْفِ إِبْرَٰهِيمَ ٥١
وَنَبِّئْهُمْ
عَنْ
ضَیْفِ
اِبْرٰهِیْمَ
۟ۘ
Na wapashe habari, ewe Mtume, kuhusu wageni wa Ibrāhīm miongoni mwa Malaika ambao walimpa habari njema za kupata mwana na za kuangamia kwa jamaa za Lūṭ.