ثم اغرقنا الاخرين ٦٦
ثُمَّ أَغْرَقْنَا ٱلْـَٔاخَرِينَ ٦٦
undefined
undefined
undefined
undefined
٣
Kisha tukamzamisha Fir’awn na waliokuwa pamoja na yeye kwa kuifanya bahari iwafinike baada ya wao kuingia ndani wakimfuata Mūsā na watu wake.